Skip to product information
1 of 1

Gostch Publishers

Idara YA Usalama Wa Taifa: Ni Chombo Cha Mauaji?

Idara YA Usalama Wa Taifa: Ni Chombo Cha Mauaji?

Regular price $17.68 USD
Regular price Sale price $17.68 USD
Sale Sold out
Shipping calculated at checkout.
Format
Quantity
Idara ya usalama wa Taifa ni chombo cha mauaji? Ilihusika vipi na vifo vya marehemu Horace Kolimba, Profesa Kighoma Ali Malima na Mzee Mahimbo? Kwa nini imeshindwa kuwadhibiti mafisadi, wauzaji wa madawa ya kulevya, wahujumu uchumi na wahalifu wengine nchini? Kwa nini wananchi wamekosa imani na idara hii? Je chombo hiki bado kinahitajika katika Tanzania ya leo? Mwandishi Godwin Chilewa anajibu maswali hayo pamoja na mengine mengi.

Author: Godwin Chilewa
Publisher: Gostch Publishers
Published: 01/17/2015
Pages: 224
Binding Type: Paperback
Weight: 0.50lbs
Size: 8.00h x 5.00w x 0.47d
ISBN: 9780692364017
Language: Swahili

About the Author
Bw. Godwin Chilewa alizaliwa wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro. Alipata elimu ya msingi katika shule ya msingi Kichangani iliyopo mjini Kilosa na baadae katika shule ya sekondari Kibasila iliyopo jijini Dar es Salaam. Bw. Godwin amehitimu stashahada ya upelelezi kutoka School of Criminal Investigation (USA), shahada ya uongozi katika chuo kikuu cha Ashworth, shahada ya Saikolojia kutoka University of Houston Downtown, na shahada ya uzamili (MBA) kutoka Devry University Houston, Texas

This title is not returnable

View full details